tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Hii huwa inatokea sana, alafu mtu akipigiwa simu huwa zinakuja sababu za "nimerenew line" au "nimepoteza simu". Kumbuka hawa wafuta namba wengine ni marafiki tu. Ninachojiuliza> inawezekana watu huwa wanakuwa na malengo gani wanapochukua namba na kuifuta baada ya siku chache? Nawasilisha.