malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,780
- 2,716
Habar wakuu Leo nimean, tengeneza juis inayotokana namboga mboga za majani...yaan kama mchicha na kisamvu nachukua Kisha naweka ktk heavy duty juicer inakamua zile mboga mboga napata kimiminika Kisha nakunywa...nauliza wataalamu wa afya Kuna mahara yoyote naweza pata