mkulimamwema
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 153
- 18
Siku moja nikiwa stendi ya daladala ubungo pale kuna jamaa walikuwa wanabishana :Mmoja alidai ni kheri asikilize hotuba za mwl za 1970 kuliko za JK hata ikiwa ni live,sasa mimi nawauliza wanajamii nanyi mtoe majibu yenu hotuba ipi tukiitekeleza italeta maendeleo ya mwl ya 1967 juu ya azimio la Arusha au ya JK akifungua bunge la kumi mwaka jana mjini Dodoma?