mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
Hapo red ndo chakula kupitia mdomo upi? Manake ndizi zaweza tumika kwa mdomo wa juu lakini kuna mabinti wengine wanazitumia kwa mdomo wa chini. Sasa tuambie haswahaswa ulikuwa unamaanisha nini? BTW hujambo gfsonwin wa hommie wangu Kaizer?princess enny miye napenda sana ndizi kwa utombo ulochanganywa na nyama duh! uzipate na parachichi la rombo acha matani bana!
Hiyo makitu uchanganye na kiti Guinness ni full burudani...Kitu Noah rosti ndizi kadhaa pembeni! mwisho nyagi ya kusuzia!
Leo zamu ya nani kunipikia?
Ugali satoje chakula gani unapendelea!!??
mi napenda ndizi & maini au samaki!!
wewe jeeee!!!!!!!!????????????????????
mimi ugali na furu
Ugali sato
princess enny miye napenda sana ndizi kwa utombo ulochanganywa na nyama duh! uzipate na parachichi la rombo acha matani bana!
Hiyo makitu uchanganye na kiti Guinness ni full burudani...
bokoboko hlo lawali au!!!!!!????????Bokoboko
hata kobe wa kuchemsha?!
uuuh unapenda ugali!!!!!!!!!!???????????????Ugali samaki sato wa kwetu kanda ya ziwa