Hapa wapi?
Hiyo Mbeya chuo cha ufundi au ni Tabora Mirambo?Hapa wapi?
wapi hapa?
Na hapa wapi?
Na hapa wapi?
kama kituo kimojawapo cha tazara mbeya
Umekosa!Hapa ni kanisa katoliki Mhonda kule Turiani
Na hapa wapi?
wapi hapa?
Hapa ni Kanisa Katoliki (Kanisa la Hija) Parokia ya Mwanjelwa MbeyaHapa wapi au jengo gani?
Woote kipusa kimelia.....hapa ni soko kuu la mjini Bukoba
wapi hapa?