Na hapa wapi?
Hapo ni RC moshi liko maeneo ya njia panda ya weruweru kwa chini.
Na hapa wapi?
Katika thread hii unaweza kutuma picha, hususan za Tanzania, na kutaka kujua uelewa wa watu wa nchi yetu.
Je unapajua hapa? Wapi? (See attachment)
Na hapa ni wapi???
Capri Point, mkuu umerudisha memories za udogoni.
Mkuu kama sikosei hapa ni kigali kanisa katoliki Kimironko umepiga picha kwa nyumba..this days wamejenga jingine...ndio hilo linalo onekana kwa pembeni hapo.Na hapa wapi tena? au jengo gani?
Umekosa kabisa. Kwa kuwasaidia, jengo hili liko mojawapo ya mikoa ya Nyanda za juu Kusini.Mkuu kama sikosei hapa ni kigali kanisa katoliki Kimironko umepiga picha kwa nyumba..this days wamejenga jingine...ndio hilo linalo onekana kwa pembeni hapo.<!-- google_ad_section_end -->
Haya tena kwa wale wanaopenda kutembea mapolini hapa ni wapi?