Umenichekesha sana.
Ila uko sahihi. Wakati nasoma primary tulikuwa na ticha kumbe alikuwa na mental health issues. Akatuambia ukitaka uwe na ngozi nzuri sana, usipate chunusi oga 3x a day. Na tulikuwa na lunch break ya kama 1.5 hrs. Nilianza kuoga lunch time, mpaka leo nikipata chance naoga mchana. Yaani kuoga inanipa raha fulani hivi hata haielezeki aisee.
Sent from my SM-A515F using
JamiiForums mobile app