Unaniboa sana

Unaniboa sana

Sijakomenti umbea sio vizuri mwanaume kufanya kazi ya kike nlitegemea huu upaso uwe kwa hawa wadada sio mwanaume kujiingiza kweny kazi za kike

aliepost ni mwanaume mwenzetu kwanin tusimpe support inamaana humu ndani tuwe tunachagua post za kuchangia,siwezagi ubaguzi
 
Sijakomenti umbea sio vizuri mwanaume kufanya kazi ya kike nlitegemea huu upaso uwe kwa hawa wadada sio mwanaume kujiingiza kweny kazi za kike

Kwani mkuu kuna kinachokugusa hapo? Mbona kama umechukia?
 
Back
Top Bottom