Aaaaa Shem mi nishaachana na walimu ananikeep busy mtwasi wako...
Wew mwanaume unayefanya kazi na una mshahara mzuri lakini hutaki kuhonga una boa ujue
Upo bibie... Njoo nikuhonge kile kitu.
Haloo... Hata mimi nimeona, ila mwambie ananiboa sana, haiwezekani kila siku awe anachimba tu madini kwenye shimo lako... Au ulimwambia hiyo plot ina Tanzanite?
Tena bora umekuja unaboa kinoma.. tangu mwaka jana hujanihonga adi leo sijui unataka mtoto wa kike niishije acha izo
Hahahahaaaaa ni mali yake bana mwache kuna kitu kakigundua hataki kukipoteza...
Hujaona wanaume wanajisifia eti wana dimpoz..ukistaajabu ya musa sasa haya ndo ya firauni
Wewe mwanaume unaejiona wewe ndio wewe kisa upo nje unaboa sana
nje yenyewe unakuta Malawi na Zambia...
Hata swaumu hii bado anachimba tu?
Kwani shemu hata Sudan ni ndani?
Wewe mwanaume unaejiona wewe ndio wewe kisa upo nje unaboa sana
Na wanaume wote wanaoidharau Tanzania na kuivunjia heshima mbele ya Wakenya huku wanaisifia Kenya na kuipondea nchi yao wenyewe wananiboa sanaaaa... Tena wananiboa hadi natamani nikawashtaki kwa mtoto wa mkulima ili aite FFU wapigwe..
Achana na hao wabeba Box, kuja ushirombo tule dunia aiseeee......
fuly raha duniani
mmmmh em tuwaite wanaojisifia waje waseme...
ukiwaita watakuja na story za kujua visa, ndege nzuri, mabasi ya uhakika na mitaa ya huko.. kumbe unaweza kukuta huko ni mashoga tu waliobobea kutuma salamu kwa kutumia mic za wanaume wa kizungu
Tena anakuandikia "goodnight wangu, sleep tyt dearest " yaani huwa natamani niipigize simu yangu mwenyewe haloo...
Hahahahah sleep tyt dearest