Haloo... Hata mimi nimeona, ila mwambie ananiboa sana, haiwezekani kila siku awe anachimba tu madini kwenye shimo lako... Au ulimwambia hiyo plot ina Tanzanite?
Hujaona wanaume wanajisifia eti wana dimpoz..ukistaajabu ya musa sasa haya ndo ya firauni
Nasubiri unitumie nauli nije...nimemiss mbeke alafu
Huko hakunaga hiyo makitu ujuee..
Vale nimekumiss!
Uwiii,.....
Sipendi mwanaume anayechangie kwenye thread ya kimbeya kama hii muwe wanaume sio wavulana
unaboa we mwanaume na mazivu yako eti upo team wema, team kajala team wolper, team Zari. utaliwa tak. o
tena unaboa sana ww unaeita hii thread ya kimbea wakati we mwenyewe unacomment