First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,317
- 1,484
Wewe mtoto wa kiume unaeandika "xxx" badala ya "sss" hizo ni dalili za u-KE. Wewe mwanaume unaejisifia eti we handsome, una macho mazuri, unapendwa sana na mademu, sijui nini na nini... huo ni ushamba... mwanaume hasifi uzuri.
Wewe mwanaume unaenitumia sms afu mwishoni unamalizia na neno "wangu" aiseee... huwa napata kizunguzungu kwa hasira..
Wewe mtoto wa kiume unaeandika ujumbe humu kwenye majukwaa ya JamiiForums alafu unaandika kwa kufupisha fupisha maneno... huwa unanitia kichefuchefu..
Unaniboa mno, eti mwanaume mzima unajisifia kutembea na wanawake wengi wakati uchumi wako ni sifuri then ukitoka hapo unaanza kulalama serikali haikupi ajira...
Unaniudhi sana wewe mwanaume miaka 28 na zaidi bado uko kwenu.
Ongezea mengine.. hizi kero tuzikatae wajameni...
First Borna
Wewe mwanaume unaenitumia sms afu mwishoni unamalizia na neno "wangu" aiseee... huwa napata kizunguzungu kwa hasira..
Wewe mtoto wa kiume unaeandika ujumbe humu kwenye majukwaa ya JamiiForums alafu unaandika kwa kufupisha fupisha maneno... huwa unanitia kichefuchefu..
Unaniboa mno, eti mwanaume mzima unajisifia kutembea na wanawake wengi wakati uchumi wako ni sifuri then ukitoka hapo unaanza kulalama serikali haikupi ajira...
Unaniudhi sana wewe mwanaume miaka 28 na zaidi bado uko kwenu.
Ongezea mengine.. hizi kero tuzikatae wajameni...
First Borna