Evelyn Salt
Platinum Member
- Jan 5, 2012
- 77,673
- 167,735
Hahahaa wewe ni KE au ME
Unauliza jinsia ya Evelyn?
mi ni shemale...
Hahahaa wewe ni KE au ME
Upo pamoja nami katika hili,uwa sijibu meseji za hivi
Unauliza jinsia ya Evelyn?
mi ni shemale...
Kuna mmoja alinijibu hiyo k" nkamuuliza k yangu,yako ama ya nani.
Nimeliona jina Evelyn ila kuna baadhi ya majina yanahudumu jinsia zote.
On the other hand, niliwahi kuja na uzi humu juu ya uandishi wa namna hyo (xorry, xema n.k), kwa mtazamo wangu niliona ni bora madem ndio muwe mnatutext kwa mtindo huo lkn sio mwanaume mwenzangu anitext ivo;eti bwest~fwend badala ya best friend, hlf anayeniandikia ivo ni mwanaume mwenzangu! What a fu.ck!
Anyway, mzima lkn?
Nimeliona jina Evelyn ila kuna baadhi ya majina yanahudumu jinsia zote.
On the other hand, niliwahi kuja na uzi humu juu ya uandishi wa namna hyo (xorry, xema n.k), kwa mtazamo wangu niliona ni bora madem ndio muwe mnatutext kwa mtindo huo lkn sio mwanaume mwenzangu anitext ivo;eti bwest~fwend badala ya best friend, hlf anayeniandikia ivo ni mwanaume mwenzangu! What a fu.ck!
Anyway, mzima lkn?
Kuna binti nilimwandikia ujumbe kuwa nisingeenda
sehemu tuliyopanga kukutana kwa sababu fulani( nikamwambia)
Yeye akanijibu K.
Nikawa nafikiria maneno meeengiiii yanayoanza na K...............
Nilimind lkn nikaamua kumpotezea.
lkn,hlf dah!uandishi wa wapi huu?
Huyo anaeitwa evelyn sio mwanaume ni mtoto wa kiume
mi mzima, huo uandishi ni wa kijinga haijalishi anaandika mwanaume au mwanamke
Three leaves do miracles.....
Yaani hata kama ni hivyo ishu ni aina ya sms. Ukiulizwa unaondoka na basi gani utajibu K?
Mm huwa nakereka zaidi nnapochat na mtoto wa kiume alaf akawa anatumia maneno yafuatayo "tantee" "mekumithi" "wangu" huwa najihic vibaya sana....mtoto wa kiume unamuita mwanaume "wangu" ???...maneno mengne tuwaachie watoto wa kike jaman
Hahahaa aisee huyo mwanaume lzm atakua bwa.bwa tu
Haya mkuu naona umekua mkali sana!
SHEMALE*- mmh! yaishe
Hahahaa pole sana mkuu!
Wengine ni watu wa muhimu kuwakaushia siwezi, kuwa sema siwezi
nabaki namind tu kimoyomoyo