Unamtext mtu message ndefu yeye anakujibu "K"

Unamtext mtu message ndefu yeye anakujibu "K"

Kuna mmoja alinijibu hiyo k" nkamuuliza k yangu,yako ama ya nani.
 
Umemtaja my shosti Kongosho mtake radhi aiseee
 
Kila mtu na lifestyle yake, as long as unajua kua K means OKEY, you dont have to waste your time kwa kuuliza what does K mean...
Nifikiriavyoooo....
 
Afadhali amaanishe k kwa maana hizo, mwingine anaweza maanisha k kwa maana ambayo ukiijua unaweza ukaenda kufyeka ukoo wake wote kwa hasira!

Mkuu we acha tu! ni kweli kbs, 'k' alone is ambiguous...huwezi kujua, huenda anamaanisha

'k' for k#m._
 
Mkuu hilo neno la kiingereza hapo kwenye kichwa cha habari weka sawa..hilo neno ambalo linamaanisha ujumbe.
 
Kila mtu na lifestyle yake, as long as unajua kua K means OKEY, you dont have to waste your time kwa kuuliza what does K mean...
Nifikiriavyoooo....

Rejea uzi wangu vzr, hapa hatubishani kuhusu kuelewa kwamba 'k' stands for okey, lkn cheki vzr nature ya txt niliyomtumia, it demands further maelezo and not only "k".
 
Rejea uzi wangu vzr, hapa hatubishanii kuhusu kuelewa kwamba 'k' stands for okey, lkn cheki vzr nature ya txt niliyomtumia, it demands further maelezo and not only "k".
Sijakubishia mkuu, ushajua ni okey, may be he will give you a call...
 
aise hivyo aina ya vitu hua vinanichefua sana!kuna jumbe zingine zinahitaji sana vimaelezo viwili vitatu katika hali yakawaida kabisa kibinadamu,ila wanawake wamezidi aise uduu mwingi!
 
Back
Top Bottom