Unampinga ili 2020 uje uchaguliwe na nani?

lendomza

JF-Expert Member
Jun 11, 2016
396
228
Kulingana na taarifa iliyorushwa humu JF wako watu wanajuhudi kuhakikisha Mh JPM hapati uenyekiti!!najiuliza hivi unampinga JPM ili uje uchaguliwe na nani 2020???

Mmesahau haraka hivi ??hamkumbuki kuwa CCM ilikaribia kaburi kama msingecheza mchezo mzuri kumkata EL na kumweka anayekubarika na wananchi kwa asilimia kubwa !!hivi mnafikiri ndani ya CCM kulikuwa na mtu Wa kupambana na Dr slaa au Lowassa??

Sikwamba tunataka mheshimiwa ajisifu kuwa wako watu wanamtetea lakini lazima ukweli usemwe!!Mimi nilifikiri mtakuwa nyuma ya mh JPM kuhakikisha mnakitengeneza chama maana waliyokuwa wanasumbua na kuharibu misingi ya chama wameondoka !!

Watu hawa walimsumbua hata hayati JK !!mtawaeleza nini wananchi endapo mtaendeleza ujinga Wa namna hii!!ngoja niwambieni huyu mnayemwona eti hafai kupewa uenyekiti na wapinzani wanawasupport kinafika kesho watakuja na kusema :CCM ni chama cha mafisadi ndo maana walimkataa rais mwema kama JPM!! jifunzeni ya mwaka Jana!!walisema lowassa fisadi alipohamia kwao akaonekana kuwa shetani aliyetubu!!

Tafakari chukua hatua!!
 
Anzisheni jukwaa la ccm haya mambo sisi wengine hayatuhusu jamanii wengine hatuna chama mnatulazimisha kusoma mambo yenu jamani mnatuboa hatutaki hayo mambo
 
Anzisheni jukwaa la ccm haya mambo sisi wengine hayatuhusu jamanii wengine hatuna chama mnatulazimisha kusoma mambo yenu jamani mnatuboa hatutaki hayo mambo
Chadema hamufichiki.na dhambi ya ubaguzi itawatafuna tu ati leo munajifanya hamna chama.tehteh mutamkumbuka ZZK.
 
Chadema hamufichiki.na dhambi ya ubaguzi itawatafuna tu ati leo munajifanya hamna chama.tehteh mutamkumbuka ZZK.
Ha ha haaa misio chadema ivi hujui kuna watu hawana chama ndosisi sio ccm wala chadema sia za afric sio kabisa bora kutokuwa na chama kabisa
 
Kulingana na taarifa iliyorushwa humu JF wako watu wanajuhudi kuhakikisha Mh JPM hapati uenyekiti!!najiuliza hivi unampinga JPM ili uje uchaguliwe na nani 2020??? mmesahau haraka hivi ??hamkumbuki kuwa CCM ilikaribia kaburi kama msingecheza mchezo mzuri kumkata EL na kumweka anayekubarika na wananchi kwa asilimia kubwa !!hivi mnafikiri ndani ya CCM kulikuwa na mtu Wa kupambana na Dr slaa au Lowassa?? sikwamba tunataka mheshimiwa ajisifu kuwa wako watu wanamtetea lakini lazima ukweli usemwe!!Mimi nilifikiri mtakuwa nyuma ya mh JPM kuhakikisha mnakitengeneza chama maana waliyokuwa wanasumbua na kuharibu misingi ya chama wameondoka !!watu hawa walimsumbua hata hayati JK !!mtawaeleza nini wananchi endapo mtaendeleza ujinga Wa namna hii!!ngoja niwambieni huyu mnayemwona eti hafai kupewa uenyekiti na wapinzani wanawasupport kinafika kesho watakuja na kusema :CCM ni chama cha mafisadi ndo maana walimkataa rais mwema kama JPM!! jifunzeni ya mwaka Jana!!walisema lowassa fisadi alipohamia kwao akaonekana kuwa shetani aliyetubu!!

tafakari chukua hatua!!
CCM ni chama makini. Kina akiba kubwa ya wazee wenye busara ko hata kwa hili mambo yataenda vizuri tu. Lazima Magufuli awe mwenyekiti wa chama.
 
a
CCM ni chama makini. Kina akiba kubwa ya wazee wenye busara ko hata kwa hili mambo yataenda vizuri tu. Lazima Magufuli awe mwenyekiti wa chama.
sante
CCM ni chama makini. Kina akiba kubwa ya wazee wenye busara ko hata kwa hili mambo yataenda vizuri tu. Lazima Magufuli awe mwenyekiti wa chama.



mkuu asante!!!!
 
Ha ha haaa misio chadema ivi hujui kuna watu hawana chama ndosisi sio ccm wala chadema sia za afric sio kabisa bora kutokuwa na chama kabisa
Tembelea ofisi zetu za ACT WAZALENDO au kama unabeba box huko visit our website.
 
Ha ha haaa misio chadema ivi hujui kuna watu hawana chama ndosisi sio ccm wala chadema sia za afric sio kabisa bora kutokuwa na chama kabisa
Nimefurahi hata mi sina chama na sihitaji chama
Basi tumekua wawili maswala ya kuwa mpinzani hata vitu visivyohitaji upiinzani simo.
Hafu eti ni chama tawala huku hakijielewi hakina hata mfumo wa kueleweka kila mtu anafanya yake, embu ona anachokifanya raisi mpya utazani juzi ndio tumepata uhuru na tena katokea chama cha upinzani kumbe alikuwemo humohumo
Inaudhi sana

Sipingani na kauli ya nyerere eti wapinzani wa kweli watatoka ccm, kwa maana hiii kuna watu wataumia na upinzaniweeeeeeee kwenye manufaaa atakuja mtu kutoka ccm sawa na kilichofanyika cdm
 
Kwa akili zako Magufuli alikuwa anakubalika kuliko lowassa ?


khaaa!!hata Mtoto Wa LA saba anajua hivyo!!wewe uko nchi gani!?Tanzania inajua na dunia inajua kuwa raid wetu kipenzi JPM alikuwa anakubarika kuliko lowassa!!
 
Kwa akili zako Magufuli alikuwa anakubalika kuliko lowassa ?


khaaa!!hata Mtoto Wa LA saba anajua hivyo!!wewe uko nchi gani!?Tanzania inajua na dunia inajua kuwa rais wetu kipenzi JPM alikuwa anakubarika kuliko lowassa!!
 
Nimefurahi hata mi sina chama na sihitaji chama
Basi tumekua wawili maswala ya kuwa mpinzani hata vitu visivyohitaji upiinzani simo.
Hafu eti ni chama tawala huku hakijielewi hakina hata mfumo wa kueleweka kila mtu anafanya yake, embu ona anachokifanya raisi mpya utazani juzi ndio tumepata uhuru na tena katokea chama cha upinzani kumbe alikuwemo humohumo
Inaudhi sana

Sipingani na kauli ya nyerere eti wapinzani wa kweli watatoka ccm, kwa maana hiii kuna watu wataumia na upinzaniweeeeeeee kwenye manufaaa atakuja mtu kutoka ccm sawa na kilichofanyika cdm
Siasa ni maisha. Pole sana kama uliumia na siasa uchwara za chadema karibu ACT wazalendo turi kumwe.
 
Nimefurahi hata mi sina chama na sihitaji chama
Basi tumekua wawili maswala ya kuwa mpinzani hata vitu visivyohitaji upiinzani simo.
Hafu eti ni chama tawala huku hakijielewi hakina hata mfumo wa kueleweka kila mtu anafanya yake, embu ona anachokifanya raisi mpya utazani juzi ndio tumepata uhuru na tena katokea chama cha upinzani kumbe alikuwemo humohumo
Inaudhi sana

Sipingani na kauli ya nyerere eti wapinzani wa kweli watatoka ccm, kwa maana hiii kuna watu wataumia na upinzaniweeeeeeee kwenye manufaaa atakuja mtu kutoka ccm sawa na kilichofanyika cdm
Unamaaanisha nini
 
Back
Top Bottom