ha ha ha, kwa upande huo niko vizuri ondoa shaka.
Am too young for this
Japo swali halinihusu lakini sidhani kama dada zangu watapenda kuwa na mahusiano na mashoga.
Japo swali halinihusu lakini sidhani kama dada zangu watapenda kuwa na mahusiano na mashoga.
Ha ha ha ha Huu uzi nahisi utanitoa machozi kwa kicheko, Madame B hivi nikianza
mazoezi leo naweza kumudu, au ndo nitategua kiuno?
We mtoto kuna usichojua kwenye mapenzi?
Ha ha ha ha sawa bana we nipigie promo nlikuambia nifanyie mpango kwa rafiki yako Heaven on Earth ukakataa mbona wewe nlikuruhusu uende kidogo
Mkuu am a just gym instructor sasa ya PSPF ntayajulia wapi. Ila huyo Madame B ni mchepuko wangu sometym namruhusu atoke kdg
Yaani wataka kutuchanganya mtu na shogaye?
Kaka mbaya sana wewe.
Heaven on Earth wala usimkubali Shark
Hahahahaha......ila mie na wewe tunapendana....uwongo?
Najua unanimiss sana, ngoja nirudi Arusha tutajifungia zetu sehemu tunakula raha
Mbona we umekwenda kwa pacha asakuta same pia kwa mzee wa Prado ukakimbilia kwa babu na Leo kiroho safi akina Arushaone na LiverpoolFC wanajisomolea kiulaini shahidi Preta