Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Wana JF miongoni mwa mawaziri waliokuwa katika baraza la mawaziri katika awamu ya kwanza ya Mwl.J.K. Nyerere ni Prof. John Machunda. Kwa waliokuwa wanamfahamu inasemekana alikuwa mchapa kazi ingawa akipiga ulabu huwa ana-misbehave kupitiliza!!!! Sijui kama bado yuko kwenye siasa au la!!! mwenye taarifa zake aziweke hapa!!!