Kuna swali ningependa kila anayesema “Simwamini Allah” au anayekanusha kwamba Allah ndiye Muumba wa mwanadamu alijibu:
Kama Allah si Muumba wako, nani aliyekuumba? Na kama humkubali Adam kuwa mwanzo wa kizazi cha mwanadamu, kwa nini bado unajiita mwana wa Adam?
Qur’an iko wazi kuhusu jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.