Valerie Msoka (kushoto). Ataiweza kazi ya mtangulizi wake chini ya chokochoko za katibu muhutasi wake, Bahati Mhaville?!
what the f is this.
Really??!!Mkuu the Pen, watu humu hawamjui who is Ananilea Nkya na anafanya nini?.
I am not looking for a job in here!Was this necessary?!
ooh!kumbe JF ni sehemu ya kujadili wakubwa tuu.sikuwa nalifahamu hilo.Mbona watu wadogo sana kuwajadili hapa
Thanks but you should have said more.Labda baadhi yao. Anyway, ni Mkurugenzi wa TAMWA. Na huyu M/s Msoka alishawahi kuwa mtangazaji wa BBC.
good-riddance. Its time for TAMWA to redifine itself and come to terms with its core functions and purpose, among which, to promote and safeguard the welfare of female journalists. Its a heavy burden but You have my trust Valerie!
I am not looking for a job in here!
Hope the pen ni 'the pencil' kwa namna anavyoandika. Unatafuta miguu, tumbo na kichwa cha anayosema hupati! Pasco hebu msaidie namna ya kushika pen ili mwandiko usomeke. Yawezekana mawazo yake ni mema sana lakini namna ya kuyawasilisha ndiyo issue