toroka uje mjini
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,584
- 2,118
Mkuu jaribu hata Ramli Chonganishi tujue ni kitu gani zaidi kilicho msibu huyo dogo[emoji17]
Tunaendelea kufuatilia
Tunaendelea kufuatilia
Maeneo yapi?Huyu kijana amepigwa risasi leo hii huko South Africa anaitwa Evance Mdemu. Tujitahidi kusambaza taarifa hii.... View attachment 1261445
Angeitwa Temu au Masawe siajabu usingeandika ulivyoandika, usihukumu bila ya kujua, haujui kwa nini kapigwa na risasi.
Uko south alikua anaishi bila mwenyej wake au mtz yoyote??
By the way hongera kwa kupata mtoto mzuri, je baba yake yupo JF?R.i.p
RAIA wa nchi gani huyu kijana?Huyu kijana amepigwa risasi leo hii huko South Africa anaitwa Evance Mdemu. Tujitahidi kusambaza taarifa hii.... View attachment 1261445
WEWEMATdv,xm,.m.,vcfdkskrk,m,f;.l,V>,lk,gj.,czmf,m,g,m,d.lmgkhjfvAKOWACHAGAWALIKUKULAPADOGOAUds;lk,Angeitwa Temu au Masawe siajabu usingeandika ulivyoandika, usihukumu bila ya kujua, haujui kwa nini kapigwa na risasi.
Mishikaki ya mbwa[emoji240] [emoji240] [emoji240] [emoji240][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu Tanangozi paheshimiwe kbsa, Tanangozi sehemu yetu ya kula mishkaki iliyonona
Si ndio umeiona hapo pichani mkuuHii sura sio ngeni sijui nimeiona wap aiseee