Unamfahamu huyu?

Unamfahamu huyu?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,209
Reaction score
843,365
Huyu kijana amepigwa risasi leo hii huko South Africa anaitwa Evance Mdemu. Tujitahidi kusambaza taarifa hii....
IMG-20191112-WA0158.jpeg
 
Ila south katumalizia watanzania sio siri duh nchi ya ovyo sana kiusalama duh! kuna kipindi nilikuwa nasoma kule yaani nikujifungia tu ndani ukitoka class hakuna raha yeyote wabongo nilioshudia wakiuwawa nikiwa kule sio chini ya 5 ndani ya miaka 3 niliyokaa kule.

Angalia kijana alivyomdogo duh kuna haja ya kuangalia mahusiano yetu na south kidiplomasia.
 
Ila south katumalizia watanzania sio siri duh nchi ya ovyo sana kiusalama duh! kuna kipindi nilikuwa nasoma kule yaani nikujifungia tu ndani ukitoka class hakuna raha yeyote wabongo nilioshudia wakiuwawa nikiwa kule sio chini ya 5 ndani ya miaka 3 niliyokaa kule.

Angalia kijana alivyomdogo duh kuna haja ya kuangalia mahusiano yetu na south kidiplomasia.
Nasikia mkifika huko mnachukua mademu zao
 
Back
Top Bottom