Ila south katumalizia watanzania sio siri duh nchi ya ovyo sana kiusalama duh! kuna kipindi nilikuwa nasoma kule yaani nikujifungia tu ndani ukitoka class hakuna raha yeyote wabongo nilioshudia wakiuwawa nikiwa kule sio chini ya 5 ndani ya miaka 3 niliyokaa kule.
Angalia kijana alivyomdogo duh kuna haja ya kuangalia mahusiano yetu na south kidiplomasia.
Wazulu huwa hawajeruhi, wanajuwa kuitumia 9mm kiufasaha, risasi zao huwa wanapiga moyo au kichwani, na kama ni shambulio la visu vyao vya Okapi wanapiga nyumba ya shingo kwenye mishipa ya nervous.Vipi amefariki???? If so apumzike kwa amani na Kama amejeruhiwa tuu namtakia quick recovery
Wabongo wengi walio South Africa ni wezi , nimewasaidia hadi nimechoka
Uko south mkuu?.Tunaendelea kufuatilia
Na kazi zaoNasikia mkifika huko mnachukua mademu zao
Wewe si ulikuwa pamoja nae mtu huyu?MIMI>>>>>>>>HAKIKA>>>>>>>SIMJUI>>>>MTU >>>>HUYU>>>>
tusaidie basi hata Jina lakeNimeona facebook
R.I.P mdogo angu
Na wizi wa mali ndio kazi zaoNasikia mkifika huko mnachukua mademu zao