Unamfahamu DCI Manumba wewe?


We,Mungu siyo wa hivyo acha kutaniana na Mungu.
 
Kwa wote tunaomuombea dci apone ili arudi kwenye majukumu yake,tujifunze kitu hapa jukwaani maana naona 70% hawamtakii mema why?kuna tatizo hapa kwenye utendaji hivyo tujirekebishe
 
Kwa wote tunaomuombea dci apone ili arudi kwenye majukumu yake,tujifunze kitu hapa jukwaani maana naona 70% hawamtakii mema why?kuna tatizo hapa kwenye utendaji hivyo tujirekebishe

Nani ajirekebishe,DCI na wenzake,au sisi wanyonge?
 
Usifurahie mateso anayoyapata mwenzako bali furahia mtu anapotubu dhambi zake
 
Nimeshtuka sana niliposkia eti ana malaria jumla ya vijududu 500 yaani ana malaria 500!!!!!!!!!!!!!!!!! Sijawahi kuskia kitu kama hii bhana
Inawezekana kabisa kuna dogo alikutwa na vijidudu 4500


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 

Vp about kunyongwa, waache kunyonga ama
 
Huyu jamaa ni mtenda kazi shupavu kabisa
kwa taarifa tulizo ni kwamba amejiingiza kwenye 18 za watu,,kwi kwi kwi,,,,,,,,,,,,,,,,,,
hapa tunasubiri dakika tu,,ndio tujue Mwenyenzi Mungu Muumba wa Mbingu na Dunia siyo ASUMANI!!!!!!!!!!!!!!!!

Siku zote nasikiaga tu adui mwombee njaa wala si mambo mengine..tafakari hii.
 
Ana roho ngumu kama ya paka, hadi leo hajakata roho tu....
 
Inawezekana kabisa kuna dogo alikutwa na vijidudu 4500


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Hao wadudu wana nguvu kuliko kugongwa na kitu kizito chenye ncha kali chenye kasi !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…