JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 630
- 957
Mwalimu mkuu ndiye mwenye mamlaka ya kutoa adhabu ya viboko au mwalimu mwingine ambaye atakasimishwa na mwalimu mkuu kwa uangalizi maalum.
Tukio la viboko kwa mwanafunzi sharti liwekewe kumbukumbu kwa kuandika jina la mwanafunzi, kosa alilofanya, idadi ya viboko na jina la mwalimu aliyetoa adhabu kisha mwalimu mkuu ataweka sahihi taarifa hizo.
Kanuni ya The education (Corporal punishment) ilitungwa na Waziri wa Elimu mwaka 2002 kama sehemu ya mamlaka yake
Kanuni hizo zinasema kuwa adhabu ya viboko itatolewa iwapo utovu wa nidhamu utafanyika ndani au nje ya shule na adhabu itazingatia umri, jinsi na afya ya mwanafunzi na isizidi viboko 4.
Tukio la viboko kwa mwanafunzi sharti liwekewe kumbukumbu kwa kuandika jina la mwanafunzi, kosa alilofanya, idadi ya viboko na jina la mwalimu aliyetoa adhabu kisha mwalimu mkuu ataweka sahihi taarifa hizo.
Kanuni ya The education (Corporal punishment) ilitungwa na Waziri wa Elimu mwaka 2002 kama sehemu ya mamlaka yake
Kanuni hizo zinasema kuwa adhabu ya viboko itatolewa iwapo utovu wa nidhamu utafanyika ndani au nje ya shule na adhabu itazingatia umri, jinsi na afya ya mwanafunzi na isizidi viboko 4.