Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 987
- 1,912
Hope mko poa,
Nyie wanaume wa humu naombeni jibu.
Hivi pale inapotokea unamchumba wako ambae soon mnafunga ndoa alafu ukachit inakua;
a) Tamaa
b) Tabia yako
c) Nature kama mnavyodai
d) Mchumba wako haumpendi umelazimishwa tu au nini hasa?
Naombeni jibu
Nyie wanaume wa humu naombeni jibu.
Hivi pale inapotokea unamchumba wako ambae soon mnafunga ndoa alafu ukachit inakua;
a) Tamaa
b) Tabia yako
c) Nature kama mnavyodai
d) Mchumba wako haumpendi umelazimishwa tu au nini hasa?
Naombeni jibu