Topetope
ivi kwani ni tunda moja hili??Kwetu tunaita stafeli
uyu mzee ni botanist na nafkiri kwa tanzania hii ndiye mtu pekee anayeweza kuclassfy mimea ukienda mliman chuon utamkuta pale hebarium taasis nyingi sana za utafiti zinamtumiaMkuu mzee Seleman wa wapi huyo?
Kwetu tunaita stafeli
Kwetu tunaita stafeli
Kwetu aina hiyo sijapata kuona. tunayo yanayoitwa mapera, mapera marashi.Wengi tunaita stafeli mkuu. Sijui kwenu mnaitaje?
Sasa ivi Mapera marashi yapo ivoivo.... kwani sitaferi yanaotaga vipi?Hapana mkuu mapera (guava) ni tofauti, hili ni stafeli (soursop)
hiyo ni RAMFARKwetu tunaita stafeli