Unalijua hili tunda?

Unalijua hili tunda?

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
Ni muhimu kwako
attachment.php
 

Attachments

  • 1392618177715.jpg
    1392618177715.jpg
    26.8 KB · Views: 921
ivi kwani ni tunda moja hili??
hapa itabidi twende hebarium kuuliza sijui mzee Seleman yupo atusaidie kupata ufumbuzi??

Mkuu mzee Seleman wa wapi huyo?
 
Stafeli nalipenda sana hususan harufu yake

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Juice ya stafeli ni nzuri sana wapemba ndio watengenezaji sana wa juisi hii,hapo zamani kulikuwa na kiosk cha juisi pale karibu na msikiti Magomeni Mwembechai walikuwa wantengeneza sana kwa sasa sijui kama wapo loo nimetamani sana
 
Back
Top Bottom