Unalalaje?

mkuu pole kwa ban.
uankumbuka siku ile nilikwambia usibishane na rashian raulette atakupeleka korokoroni ukadai eti unazifahamu sheria za jf vizuri.
sasa unaona kilichokupata?
ungesikiliza ushauri wangu yasingekupa yaliyokupata. lakini hata mimi pia yalinikuta hayo, kisa nimebishana na RR

Nimeshamuadd kwenye Ignore list yangu kwahiyo sitalajii kuonana nae for my entire life. haiwezekeni mtu awe refa yeye halafu anataka na yeye acheze humo humo!
 
Nimeshamuadd kwenye Ignore list yangu kwahiyo sitalajii kuonana nae for my entire life. haiwezekeni mtu awe refa yeye halafu anataka na yeye acheze humo humo!
Mbaya zaidi analazimisha wachezaji na wengine na mashabiki wote kumshabikia mchezaji anayemtaka yeye. Sijawahi ona hii kitu ila kwa jf tu. hawa ndo watakaoua jf.

tatizo hawa watu wanajiona kama miungu fulani hivi.
wako radhi hata kupindisha kile walichokiweka kwa manufaa yao.
 
Back
Top Bottom