Unakumbuka Ze Utamu? Ile kesi iliishaje?

Unakumbuka Ze Utamu? Ile kesi iliishaje?

Aisee ze utamu ilikuwa inawachafua sana wadau..nakumbuka by then tunakimbilia computer za library ili kucheki kipi kipya ze utamu mpk uongozi wa library chuo ukabidi uandike warning ya matumizi sahihi ya net.ama hakika ilitamba sana...kila zama na kitabu chake walijisemea wahenga..
 
na kweli shiiii manake unakoelekea siko kabisaa na mie sitak kukukosa hapa
wengi walikuwa wtt na matumiz ya blog hayakuwa yanajulikana sana hivi wewe umesahau gazti la WASAA??
ama ulikuwa bado hujazaliwa?? hakunaga kitu nakimis kama lile gazetiii khaaa......??

huyu jamaa haogopi kumkashifu rais wazi wazi. who does he think he is by the way.
 
Ile kesi tuliimaliza kimila. Dogo alipigwa mkwala aufungw mwenyewe mtandao wake
 
Back
Top Bottom