Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,654
- 18,801
mkuu hilo neno la bluu lina maana gani?
Yule bwana pamoja na utumbo wote huo, sasa hivi yupo tu pale mjini anakula maisha na anajitamba kwelikweli huko kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram. Angekuwa sio mwana CCM sijui angekuwa wapi. CCM ni shida sana, mnawakomalia watu kama kina Fred Minja (mwenyekiti wa wafanyabiashara) wenye hoja za msingi, lakini wapuuzi wa Ze Utamu mnawachekea
㏘튱介回口嚚튠모오ㆄ壘囟目立₭쇼웃又凸日臼倫凹유㏘ㆄ立凸目介웃臼
他是一个杀手,他应得的剂量
Nielezee vizuri ilikuwaje.. uwemba ndio nini au hata maelezo hairusiwi....
Mpwa ulikuwa bado kigori? na enzi za Dar hotwire bado ulikuwa mbichi?
Ushamba unawasumbuwa, google wametuwekea google translate siyo kwa ajili ya mazuzu kama nyinyi.
Ni punguani tu ndiyo ambae anaona teknolojia kuwa ni "ushamba".
Nnakumbuka siku moja ulijidai eti "English Please" ukalambwa Kingereza ukaingia mitini. Si ungetumia google translate tu.
Punguani wahed.
Mange aligombana na Tedy kalonga,pia aligombana na Advocate Magai,Rachel Temu,ze utamu ndo ulikuwa uwanja wa mapambano,Mange alikuwa anatuma post zake kule.Mange nae aliwekwa kuna kituko alifanya ama??
Aliwekwa sana akiwa na mzungu wake,mara enzi za mabibo akiwa na Miraji K,Tedy nae akawekwa akiwa UsA kwenye choo cha kukaa,Walipomuweka mukulu ndo ikafungwa,ze utamu jamani ilikuwa ni balaaMange alianza kutukanwa zamani...ndio maana keshakua sugu
kuliwa kabangNielezee vizuri ilikuwaje.. uwemba ndio nini au hata maelezo hairusiwi....
Aliwekwa sana akiwa na mzungu wake,mara enzi za mabibo akiwa na Miraji K,Tedy nae akawekwa akiwa UsA kwenye choo cha kukaa,Walipomuweka mukulu ndo ikafungwa,ze utamu jamani ilikuwa ni balaa
Ungekuwa wewe au mie huwa kinapatikana kifungu cha kukukandamizaUngekuwa wewe ungemshitaki kwa sheria ipi? Mbona unauliza na kujijibu mwenyewe?
Pimbi wahed.
picha ya 'kiranja mkuu' ya kutengenezwa na photoshop iliwekwa akikamuliwa tigo....
Kilianza kwanza kwa wale wanaotumia TTCL, wakaja wazee moderm watu waotumia dish wakamalizia kama wiki mara chali, ule mtandao ungekuwepo mpaka sasa sijui ingekuaje maana watu walikuwa wanapiga desa alafu wanapiga kimya maana baada ya kufungwa unakuta watu wanazungumzia matukio yote (lakini siku hizi na MB za bure na internet unapata hata kama una simu ya 30,000 mpaka watoto wanaangalia mambo). Baada ya mkulu kutolewa vile watu wakaanza kusikitika sasa kwa kile kilichofanywa na mtandao ule wakati kuna watu kibao walitolewa hakuna aliekuwa anapaza sauti na ndipo nilipokuja kufahamu kumbe kitu kikihusisha mamlaka ya juu maamuzi ya haraka hufanyika yaani kulikuwa na uwezekano wa kuufunga siku nyingi.Ile picha ya mkuu ni noumer....
Nakumbuka niliwahi ofsn cha kwanza ze utamu nikakutana na ile picha niliexit fasta......
Halafu nikafungua upya......kuitazama... (binadamu wabayaaaaa)
Muda mfupi baadae kitu chaliiiii no more ze utamu!!!!!
Daaah jamani hiyo ni Pandora box msiifungue. Mnataka makuu nyie?? Hivi ugomvi wa Mange na TK uliishia wapi?Nsia swai alipatia umaarufu kule pia.
Walichoharibu ni kugusa kwa watu wazima.
Ile picha am sure itakuwepo tu sehemu hata kwenye cloud ila ni msala mkubwa sitaki hata kuishuhudia tena