Unakumbuka Ze Utamu? Ile kesi iliishaje?

Unakumbuka Ze Utamu? Ile kesi iliishaje?

umenikumbusha ze utamu,huko ndo nilimjulia Mange,sijui Ray Regency kina Masha lile kundi sijuwi liliitwaje vile
 
Katika ile picha kwa namna kiranja mkuu alivyokunjwa halafu wataka watu waiweke hewani tena....

Teh teh unataka ardhi ipasuke watu tukimbile huko ama...

Haha ila kama ingekua ii ni shule yeye ndo head boy kwa io wanafunzi tumsubirie atoke madarakan alafu ndo tujua adhabu yake mitandaon na vibonzo
 
Ulimboka muuaji, kauwa wagonjwa wetu wengi sana kwa kushinikiza migomo kwa matakwa ya kutumiwa kisiasa, yuko wapi?

㏘튱介回口嚚튠모오ㆄ壘囟目立₭쇼웃又凸日臼倫凹유㏘ㆄ立凸目介웃臼
 
㏘튱介回口嚚튠모오ㆄ壘囟目立₭쇼웃又凸日臼倫凹유㏘ㆄ立凸目介웃臼

他是一个杀手,他应得的剂量
 
Kumbukumbu zangu zinakumbuka mmiliki wa mtandao huu alikamatwa na mtandao huu ulifungiwa. Taarifa za wakati ule zilionyesha ni mtoto wa kigogo flani na aligundulika baada ya kumzalilisha Rais Jakaya.

1. Alishitakiwa Mahakama ipi?
2. Hukumu ya Ze utamu ilishatoka?
3. Au kwa kuwa kulikuwa hamna sheria ya udhibiti wa mitandao jamaa alipeta?

It's CLASSIFIED
 
Kumbukumbu zangu zinakumbuka mmiliki wa mtandao huu alikamatwa na mtandao huu ulifungiwa. Taarifa za wakati ule zilionyesha ni mtoto wa kigogo flani na aligundulika baada ya kumzalilisha Rais Jakaya.

1. Alishitakiwa Mahakama ipi?
2. Hukumu ya Ze utamu ilishatoka?
3. Au kwa kuwa kulikuwa hamna sheria ya udhibiti wa mitandao jamaa alipeta?

Yule bwana pamoja na utumbo wote huo, sasa hivi yupo tu pale mjini anakula maisha na anajitamba kwelikweli huko kwenye mitandao ya kijamii hasa Instagram. Angekuwa sio mwana CCM sijui angekuwa wapi. CCM ni shida sana, mnawakomalia watu kama kina Fred Minja (mwenyekiti wa wafanyabiashara) wenye hoja za msingi, lakini wapuuzi wa Ze Utamu mnawachekea
 
他是一个杀手,他应得的剂量

你知道他在哪裡?

Lol
 
Usilolijua ni kama usiku wa giza..madogo walikuwa procecuted indoors Arusha. Na walikula miaka 13 kila mmoja na as we are speaking hawajulikani walipo na watakuwa tayari wanafaidi mabikira 70
 
Naona kijana umeanza kufungua mitandao wakati wa internet za bure bure hizi nini?

Dah!!! ze utamu waliweka picha ya 'kiranja mkuu' akikamuliwa uwemba huku uso wake ukiwa umejaa lile tabasamu lake maarufu...

Ilikuwa shughuli wakti huo aisee!!!

Nielezee vizuri ilikuwaje.. uwemba ndio nini au hata maelezo hairusiwi....
 
naona kijana umeanza kufungua mitandao wakati wa internet za bure bure hizi nini?

Dah!!! Ze utamu waliweka picha ya 'kiranja mkuu' akikamuliwa uwemba huku uso wake ukiwa umejaa lile tabasamu lake maarufu...

Ilikuwa shughuli wakti huo aisee!!!

mkuu hilo neno la bluu lina maana gani?
 
Back
Top Bottom