Unakumbuka wapi katika picha hii.

Unakumbuka wapi katika picha hii.

ba1dd8a1b1a127a2d834709226884d63.jpg
5101dbba7b7b16dd8f8c7e6911334455.jpg

Mara boys 2014 watu walikuwa na makarai ya msosi hapo ndio breaking fast
 
Ingekuwa Mustin, sawa. Lakini kwa hii Plastic sikumbuki chochote.
 
MATI-ILONGA.....ila taasisi za elimu za bongo hazitofautiani na magereza
 

Nilikuwa sipendi kuchanganya ugali na mboga. Nilikuwa na bakuri 2
Siku moja mshikaji akamix alafu nina njaa!!!! Dah! Nilichukia mno


Humu JF kuna babu na bibi zako! heshima ikutangulie!! teh teh...
 
Boarding school, hapo bado kabichi au mchicha wenye mafuta ya taa balaa tupu
Nimesoma kwa mshangao hapo kwenye mafuta nikashangaa kumbe ya taa! huo ndio ukweli basi hafusu ya hicho chakula ikikupiga puani acha tu.
 
Pamoja na yote hayo bado tunakula msoto tu mtaani....na waliosoma kwa raha wanaendelea kula raha....maisha hayana formula
 
Ingekuwa la bati(mustini)ningechangia kwa uzuri,as long ni la plastic nyie malizaneni wenyewe!!
 
Nakumbuka Shighatini sec kwa mzee Mgonja Kavuye Gaucho na kina Ticha Dani Msimamo na wengine wengo
 
Nakumbuka Shighatini sec kwa mzee Mgonja Kavuye Gaucho na kina Ticha Dani Msimamo na wengine wengi
 
Box 934 Dodoma, 1992. Watoto wote hamjambo humu? Alikuwepo Kaishozi enzi hizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom