Capitano
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 1,959
- 1,635
Eee bana eeee Kaigo mwaka gani. mie 1984 hadi 1987Duh kaigo boyz
Eee bana eeee Kaigo mwaka gani. mie 1984 hadi 1987Duh kaigo boyz
Mzee hiyo inaitwa kaigo banaa. Mie nilikuwa hapo 1984-1987. Na tuna group letu la wana kaigo na liko strong sana kwenye kujumuika pamoja kwenye shida na rahaNakumbuka kigonsera sec school
Hii inanikumbusha JKT 1990/91, usawa wa gudulia. Kambi Oljoro. Kitu inaitwa angle.