Unakumbuka wapi katika picha hii.

Unakumbuka wapi katika picha hii.

Boarding school hiyo sitosahau siku kitu kitu maharage imetiwa kwenye kontena na dona kama hivo ulivo tia kucheck unakuta funza wanaelea

jamaa wametia dona ndani imeharibika wanaona hatari kuitupa hivo wakaanza kutu mixia
 
Da ulaji ule ni Mungu tu alikuwa anatulinda hamna afya hapo
Lakini Headmaster Shirima wetu alitetea kwamba huo ni mlo kamili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom