INTROVERT MAN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 993
- 1,337
kipindi hiko mimi binafsi ndio nimekuwa mkubwa (darasa la sita) nilikuwa namng'ang'ania mzee anipeleke baada ya kuona washikaji zangu wote wameshakatwa..
Basi siku tu mzee akanambia twende hospital moja hv binafsi ambayo daktari mkuu ni rafiki ake.Basi mzee akawasha baiskeli yake phoneix tukaondoka kuelekea huko mida kama ya saa tisa hv adhuhuri
tukafika mapokezi daktari akamwambia wee mzee baki hapa endelea kuangalia mpira (nakumbuka ilikuwa Argentina vs korea kusini)
tuakamuacha mzee ,daktari akiwa katangulia kunipeleka chumba cha mauaji.kiufupi nilikuwa na karoho ka kujiamini na sijui kalitokea wapi. tukaingia hcho chumba cha operation. duh kucheki hv mikasi na vifas kibao vya upasuaji vimejaa ohoo mbona ule ujasiri ukaanza kuniyoyoma.
dr. akanambia vua suruali panda hapo juu .nikapanda asa mule chumbani doctor alikuwa akisaidiana na nurse mmoja ambaye baada ya kupanda kitandani akaanza kumchezea abdala nae akakakamaa. mara paap nikasikia sindano ya kwanza,pili,tatu na nyingne hata sikuzisikia.. nilitamani kulia lakini nikasema mie ni kidume kulia hapana
nilisali sala zote huku akili zikiwa mbali nikisikia msuguano wa mikasi..aloo
baada ya kama saa hv nikaambiwa amka ..kucheki hv dushe limepigwa sijui plaster na bandej afu limevimba na kibaya walivoanza sikuwaambia kuwa nmebanwa na mkojo..nilivoamka doctor akanionesha kile kinyama baada ya operation.. sikuwa na hamu hata ya kukiona kilikuwa cheusi tii afu kina sura mbaya
nikavaa suruali fresh mikono mfukoni nikafika mapokezi mzee akalipa.ile tunatoka nje ya geti duh si ganzi ikakata alooooo yale maumivu sitaki tena kuyasikia afu mzee aliniudhi kinyama eti anataka anipandishe kwenye baiskeli na maumivu yale
nikakataa basi akasema chukua hela ukapande daladala me natangulia nyumbani.. mzee huyo akatokomea na baiskeli..ngoma ikawa kwangu daladala muda wa jioni zinakuwa hamna nikasubiri wee na yale maumivu basi bahati nzur nikapata ..nilichokuws nakiwaza muda huo ni kufika home tu then nilale ..ula mwendo wa daladal ukawa kama wa kinyonga..mara paap nikashushwa kituo cha nyumbani na ikabidi nivuke road. aisee misuli ya miguu nayo ni kama ilipoteza nguvu nikajikuta natembea polepole nikafika home mama hata hajauliza akanipa bonge la bukta (kitenge nilikataa) ila sio mbya mida ya saa 4, usiku maumivu yalikata
Aisee kukojoa ndio ikawa msala mkojo unatoka kidogo kwa kugoma afu unakuwa na njis kama zote.waweza maliza dk 10kibofu hakijawa empty ...
siku yakubadilisha bandeji ya kwanza ndio nililia aiseee kidonda chekundu balaa mpka nikawa najiuliza kitapona kweli..ile anaweka dawa mpya na kufunga bandeji mpya kwa yale maumivu nikawa naona akheri ya siku ile ndio nakatwa govi..
baada ya week hv nikawa fresh.. wazee wanaenda kazini me nmebaki ndani..wakiondoka tu me huyo mtaani nacheza mpira weee nikiona ndio mida yao ya kurudi chap narudi home kama kagonjwa vile.........
aisee kila nikikutana na yule doctor hiwa anacheka sana na kunitania "dogo ushaanza kukitumia?"
najua humu jf wapo waliokatwa govinda porini...leta ushuhuda wako hapa maana na sie wanaume tuna changamoto kama hii
Basi siku tu mzee akanambia twende hospital moja hv binafsi ambayo daktari mkuu ni rafiki ake.Basi mzee akawasha baiskeli yake phoneix tukaondoka kuelekea huko mida kama ya saa tisa hv adhuhuri
tukafika mapokezi daktari akamwambia wee mzee baki hapa endelea kuangalia mpira (nakumbuka ilikuwa Argentina vs korea kusini)
tuakamuacha mzee ,daktari akiwa katangulia kunipeleka chumba cha mauaji.kiufupi nilikuwa na karoho ka kujiamini na sijui kalitokea wapi. tukaingia hcho chumba cha operation. duh kucheki hv mikasi na vifas kibao vya upasuaji vimejaa ohoo mbona ule ujasiri ukaanza kuniyoyoma.
dr. akanambia vua suruali panda hapo juu .nikapanda asa mule chumbani doctor alikuwa akisaidiana na nurse mmoja ambaye baada ya kupanda kitandani akaanza kumchezea abdala nae akakakamaa. mara paap nikasikia sindano ya kwanza,pili,tatu na nyingne hata sikuzisikia.. nilitamani kulia lakini nikasema mie ni kidume kulia hapana
nilisali sala zote huku akili zikiwa mbali nikisikia msuguano wa mikasi..aloo
baada ya kama saa hv nikaambiwa amka ..kucheki hv dushe limepigwa sijui plaster na bandej afu limevimba na kibaya walivoanza sikuwaambia kuwa nmebanwa na mkojo..nilivoamka doctor akanionesha kile kinyama baada ya operation.. sikuwa na hamu hata ya kukiona kilikuwa cheusi tii afu kina sura mbaya
nikavaa suruali fresh mikono mfukoni nikafika mapokezi mzee akalipa.ile tunatoka nje ya geti duh si ganzi ikakata alooooo yale maumivu sitaki tena kuyasikia afu mzee aliniudhi kinyama eti anataka anipandishe kwenye baiskeli na maumivu yale
nikakataa basi akasema chukua hela ukapande daladala me natangulia nyumbani.. mzee huyo akatokomea na baiskeli..ngoma ikawa kwangu daladala muda wa jioni zinakuwa hamna nikasubiri wee na yale maumivu basi bahati nzur nikapata ..nilichokuws nakiwaza muda huo ni kufika home tu then nilale ..ula mwendo wa daladal ukawa kama wa kinyonga..mara paap nikashushwa kituo cha nyumbani na ikabidi nivuke road. aisee misuli ya miguu nayo ni kama ilipoteza nguvu nikajikuta natembea polepole nikafika home mama hata hajauliza akanipa bonge la bukta (kitenge nilikataa) ila sio mbya mida ya saa 4, usiku maumivu yalikata
Aisee kukojoa ndio ikawa msala mkojo unatoka kidogo kwa kugoma afu unakuwa na njis kama zote.waweza maliza dk 10kibofu hakijawa empty ...
siku yakubadilisha bandeji ya kwanza ndio nililia aiseee kidonda chekundu balaa mpka nikawa najiuliza kitapona kweli..ile anaweka dawa mpya na kufunga bandeji mpya kwa yale maumivu nikawa naona akheri ya siku ile ndio nakatwa govi..
baada ya week hv nikawa fresh.. wazee wanaenda kazini me nmebaki ndani..wakiondoka tu me huyo mtaani nacheza mpira weee nikiona ndio mida yao ya kurudi chap narudi home kama kagonjwa vile.........
aisee kila nikikutana na yule doctor hiwa anacheka sana na kunitania "dogo ushaanza kukitumia?"
najua humu jf wapo waliokatwa govinda porini...leta ushuhuda wako hapa maana na sie wanaume tuna changamoto kama hii