Trial balance
JF-Expert Member
- Jun 16, 2020
- 202
- 159
Nilipokuwa mdogo niliwahi kumwagikiwa na uji wa ubaga ambao badae uwa kama pombe mama yangu na Dada yangu walikuwa wanafanya biashara ya pombe kutokana na mkoa wetu kuwa na asiri ya baridi siku iyo uji wa ubaga ulikarishwa tangu asubuhi lakini ilipofika jioni ilibidi uipuliwe yalikuwa majira kama ya saa moja ivi mara yakasikika matangazo ya mziki kama unavyojua maeneo ya vijijini watu hukimbilia zile sauti kubwa zinaposikika mfano matangazo n.k.
Kwaiyo Mimi nilikuwa nimelala pembeni ya pipa la ubaga wa pombe Dada na mama walianza kuchota kidogo kidogo ubaga toka jikoni na kujaza kwenye mandoo. mandoo yalipojaa wakaanza kuingiza ndani ndoo moja moja Dada angu aliposikia matangazo ya mziki alinyanyua ndoo haraka haraka ili aweze kwenda ambako ule mziki ulisikika pombe ilijaa kwenye ndoo ivyo kutokana na haraka zake ndoo lilijiachia toka mikononi hadi nilipokaa nikaungua mguu mzima tangu nikiwa na miaka saba hadi Leo kovu halijatoka.
Kwaiyo Mimi nilikuwa nimelala pembeni ya pipa la ubaga wa pombe Dada na mama walianza kuchota kidogo kidogo ubaga toka jikoni na kujaza kwenye mandoo. mandoo yalipojaa wakaanza kuingiza ndani ndoo moja moja Dada angu aliposikia matangazo ya mziki alinyanyua ndoo haraka haraka ili aweze kwenda ambako ule mziki ulisikika pombe ilijaa kwenye ndoo ivyo kutokana na haraka zake ndoo lilijiachia toka mikononi hadi nilipokaa nikaungua mguu mzima tangu nikiwa na miaka saba hadi Leo kovu halijatoka.