SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
Ila pimbi bishoo kitambo sanaHii ni Nakala ya gazeti la Sani la mwaka 1986 mwishoni kuelekea 1987 na kipindi hicho likiuzwa kwa shilingi 30 na Watanzania wakiburudika kwa katuni, hadithi, riwaya nk.
Wewe ulikuwa wapi kipindi hicho?
Tupe Taswira ya Taifa kipindi hicho (hata kama ulikuwa hujazaliwa ila umesoma au kuhadithiwa) katika nyanja za Elimu, Michezo, Burudani, Siasa nk.
Eleza kuhusu usafiri wa aina mbali mbali uliotumika miaka hiyo au hata kuweka picha zake.
Eleza kuhusu mavazi pendwa ya miaka hiyo na kila unachokijua kilitumia miaka hiyo na watu wa sasa hawavijui.
Lengo la uzi huu ni kukumbushana mambo ya miaka hiyo katika Taifa letu kwani wengine hawakupata fursa ya kuwepo miaka hiyo hivyo ni burudani tosha.
Picha ni muhimu sana....twende kazi.View attachment 1254454