Unakumbuka Jolly jus enzi hizo?

Unakumbuka Jolly jus enzi hizo?

Shule ya msingi hiyo...😂😂 Usipozimua Sana zinakereketa kooni
 
f2fb08b2426fee085d3b274437222df8.jpg

Sio zamani sana back to 1996/1997
 
Ila umaskini bana ulaaniwe. Eti kwetu hadi hivyo vijuisi vilikuwa vya anasa kukabahatisha hadi uwe unaumwa na uwe na dozi ya quinine au croloquine(sijui nimepatia kuiandika) na masikio yawe yameziba au mwili wote unawasha.

By the way hivi aliegundua hizi dawa mbili kweli ataiona pepo? Hivi hakuwa na roho chungu kama dawa zake?
Na aliyegundua X pen naye mkaksi kweli
 
Back
Top Bottom