Unakumbuka Jolly jus enzi hizo?

Unakumbuka Jolly jus enzi hizo?

Hatari sana chapati na maharage enzi hizo
tapatalk_1579330899660.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila umaskini bana ulaaniwe. Eti kwetu hadi hivyo vijuisi vilikuwa vya anasa kukabahatisha hadi uwe unaumwa na uwe na dozi ya quinine au croloquine(sijui nimepatia kuiandika) na masikio yawe yameziba au mwili wote unawasha.

By the way hivi aliegundua hizi dawa mbili kweli ataiona pepo? Hivi hakuwa na roho chungu kama dawa zake?
Hizo dawa zimesababisha watoto wengi kupata ulemavu wa kusikia (viziwi). Shukuru Mungu kama ulivuka salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila umaskini bana ulaaniwe. Eti kwetu hadi hivyo vijuisi vilikuwa vya anasa kukabahatisha hadi uwe unaumwa na uwe na dozi ya quinine au croloquine(sijui nimepatia kuiandika) na masikio yawe yameziba au mwili wote unawasha.

By the way hivi aliegundua hizi dawa mbili kweli ataiona pepo? Hivi hakuwa na roho chungu kama dawa zake?
Dah! Kuna dogo alipatiwa Chloroquine akiwa na malaria zile dawa zilimuwasha sana hadi akamwambia bi mkubwa wake eti kheri usingenizaa mtu...Bi.mkubwa wake kamuuliza ulitaka uzaliwe nani? Akadai kheri ungenizaa hivyo hivyo kama jiwe, mti...
 
Dah! Kuna dogo alipatiwa Chloroquine akiwa na malaria zile dawa zilimuwasha sana hadi akamwambia bi mkubwa wake eti kheri usingenizaa mtu...Bi.mkubwa wake kamuuliza ulitaka uzaliwe nani? Akadai kheri ungenizaa hivyo hivyo kama jiwe, mti...
Hahah zile dawa zilikuwa hatari. Mi nimezitapika sana kwenye glass za maji. Sisi bi mkubwa alikuwa anaisaga kwenye kijiko then anaimwagia maji kidogo unainywa kama dawa ya kikohozi au syrup, aisee hamna tendo nilikuwa naliona la kikatili kama lile maana dawa ni chungu hakuna mfano
 
Dah! Kuna dogo alipatiwa Chloroquine akiwa na malaria zile dawa zilimuwasha sana hadi akamwambia bi mkubwa wake eti kheri usingenizaa mtu...Bi.mkubwa wake kamuuliza ulitaka uzaliwe nani? Akadai kheri ungenizaa hivyo hivyo kama jiwe, mti...
Mwaka 2010 metakelphin ziliniletea msala kama huo, now days napiga malafin au mseto
 
Hahah zile dawa zilikuwa hatari. Mi nimezitapika sana kwenye glass za maji. Sisi bi mkubwa alikuwa anaisaga kwenye kijiko then anaimwagia maji kidogo unainywa kama dawa ya kikohozi au syrup, aisee hamna tendo nilikuwa naliona la kikatili kama lile maana dawa ni chungu hakuna mfano
Hahaha!! Mie na utu uzima huu naogopa vidonge, yaani nikimeza dawa naondoa hisia kwa muda ili zimezeke vinginevyo nazirudisha zote.
 
Hayo majolly juc mara ya mwisho kuyaona si zamani sana; iyo ilikuwa 2016
 
Mwenye kapicha ka karatasi la juice ya sun vita aweke hapa!

Nikumbuke mihogo ya kwa butro mixer chachandu na san vita moja!
 
Back
Top Bottom