Unakumbuka Jolly jus enzi hizo?

Gluk

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,856
2,953
Unakumbuka wapi na mwaka gani kwa picha hii. Weka picha ya zamani na useme unakunbuka nini.
FB_IMG_1579980817338.jpeg


GOD is GOOD
 
Ila umaskini bana ulaaniwe. Eti kwetu hadi hivyo vijuisi vilikuwa vya anasa kukabahatisha hadi uwe unaumwa na uwe na dozi ya quinine au croloquine(sijui nimepatia kuiandika) na masikio yawe yameziba au mwili wote unawasha.

By the way hivi aliegundua hizi dawa mbili kweli ataiona pepo? Hivi hakuwa na roho chungu kama dawa zake?
 
Hahaha enzi hizo babake tupo machalii bado hatujiwezi kumudu soda ya 250
 
Back
Top Bottom