amoneka athumani
Member
- May 4, 2017
- 42
- 10
sawa ila ngoja niulizie maana nipo karibu na chuo cha court sea ila wanatowa course nyingi zinazousu afya
hicho chuo kina nursingMm nipo Sauti ila hapa Saut hawatoi kozi ya nurse bali wana course nyingine ambazo ni community development ngazi ya dip na certificate, account, Kuna chuo cha NTC kipo Ligula ndo wa natoa nurse, Kuna utumishi, Kuna TIA na VETA