bingu wa m
Member
- Aug 10, 2011
- 20
- 7
Mnamo karne ya 19 enzi ya utumwa kuna watanzania walichukuliwa na waarabu na kuachwa Somalia na wanaongea kiswahili, population inakadiriwa laki tisa. Wanajulikana kama Somali bantu google utaona.
Tuwaombeni mungu awaondolee matatizo ni watu wetu walichukuliwa bila kupenda.
Tuwaombeni mungu awaondolee matatizo ni watu wetu walichukuliwa bila kupenda.