mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 15,989
- 35,668
Wataalam wa History wanasema binadamu alitokana na nyani au sokwe siju miaka maelfu
Kwangu hili halina ubishi maana wengi wetu hapa ukiangalia picha ya bibi yako na ukajiangalia wewe au mtoto wako utagundua kuwa wewe au mtoto wako ni mzuri sana kwa sura na umbo kuliko bibi
yako.
Kuna familia nazifahamu wazazi wakawaida ila wamezaa watoto pisi kali hatari hii ndio evolution.
Angalia picha za marais wa marekani kuanzia George Washington mpaka sasa,ukiondoa Bush na Trump the rest muonekano wao unavutia kadri seniority inavyopanda,look at obama,clinton,kennedy etc.
Kampuni ya Toyota iliwahi tengeneza gari za land cruiser vx zenye hitilafu,walichofanya ni kuzikusanya na kuzirudisha kiwandani kuzifanyia recycling.
Covid 19 imekuja kurudisha watu wenye hitilafu kiwandani na kubakiza watu fulani inaowataka miaka kumi ijayo dunia itabaki na watu wenye specification zinazofanana,wale wenye mapungufu watarudishwa kiwandani (ahera).
Hapo ndio maana ya evolution of human being itajidhihirisha.
Watakaobaki watashangaa kusikia kuna watu waliwahi kuishi duniani wakiwa na mapungufu fulani ya kibaiolojia
Usijisumbue kujikinga wala kuchanja kama wewe ni unamapungufu utarudishwa tu kiwandani (utakufa)kama uko vizuri utaishi tu hata bila kuchanja
.......kumbuka ile mijusi ya dinosaur iliyotoweka duniani
Why this?may be kutakuja balaa kubwa zaidi ya hili so dunia kazima iwe ba watu ngangari watakao himili hilo balaa..ndio maana wadhaifu wanarudishwa kiwandani mapema.
Itaendelea......
Kwangu hili halina ubishi maana wengi wetu hapa ukiangalia picha ya bibi yako na ukajiangalia wewe au mtoto wako utagundua kuwa wewe au mtoto wako ni mzuri sana kwa sura na umbo kuliko bibi
yako.
Kuna familia nazifahamu wazazi wakawaida ila wamezaa watoto pisi kali hatari hii ndio evolution.
Angalia picha za marais wa marekani kuanzia George Washington mpaka sasa,ukiondoa Bush na Trump the rest muonekano wao unavutia kadri seniority inavyopanda,look at obama,clinton,kennedy etc.
Kampuni ya Toyota iliwahi tengeneza gari za land cruiser vx zenye hitilafu,walichofanya ni kuzikusanya na kuzirudisha kiwandani kuzifanyia recycling.
Covid 19 imekuja kurudisha watu wenye hitilafu kiwandani na kubakiza watu fulani inaowataka miaka kumi ijayo dunia itabaki na watu wenye specification zinazofanana,wale wenye mapungufu watarudishwa kiwandani (ahera).
Hapo ndio maana ya evolution of human being itajidhihirisha.
Watakaobaki watashangaa kusikia kuna watu waliwahi kuishi duniani wakiwa na mapungufu fulani ya kibaiolojia
Usijisumbue kujikinga wala kuchanja kama wewe ni unamapungufu utarudishwa tu kiwandani (utakufa)kama uko vizuri utaishi tu hata bila kuchanja
.......kumbuka ile mijusi ya dinosaur iliyotoweka duniani
Why this?may be kutakuja balaa kubwa zaidi ya hili so dunia kazima iwe ba watu ngangari watakao himili hilo balaa..ndio maana wadhaifu wanarudishwa kiwandani mapema.
Itaendelea......