#COVID19 Chanjo ya COVID-19

EL ELYON

JF-Expert Member
Jan 2, 2013
1,563
1,886
Ofisini kwetu limekuja agizo kwamba wafanyakazi wote tunatakiwa kuchanja tuwe na certificate ya COVID-19.

Binafsi nipo mikoa ya kanda ya ziwa huku ambako wengi hawakubaliani na chanjo.

Nilijiamini SIKU nikienda NI kufika Tu na kuchanja maana wengi kitaa wanasema hawachanji.

Sasa Jana nilitumiwa ujumbe toka makao makuu kwamba nitume cheti cha COVID-19 cha chanjo via email. Si ikabidi niende Leo hospitali ya wilaya kuchanja nikiwa nina ujasiri kwamba chanjo IPO Tu eeeh nilishangaa kuambiwa chanjo imeisha nisubiri ikiletwa nyingine.

Aisee nilichoka hapa najipanga kupanda bus kwenda wilaya nyingine kupata chanjo.

Nilichogundua watu wanachanja Sana kimya kimya halafu mitaani wanasema hawataki chanjo maana nikiwa kitaa kila mtu anapinga chanjo sa najiuliza hao waliochanja ni akina nani kila mtu anapinga chanjo?
 
Ofisini kwetu limekuja agizo kwamba wafanyakazi wote tunatakiwa kuchanja tuwe na certificate ya COVID-19.

Binafsi nipo mikoa ya kanda ya ziwa huku ambako wengi hawakubaliani na chanjo.

Nilijiamini SIKU nikienda NI kufika Tu na kuchanja maana wengi kitaa wanasema hawachanji.

Sasa Jana nilitumiwa ujumbe toka makao makuu kwamba nitume cheti cha COVID-19 cha chanjo via email. Si ikabidi niende Leo hospitali ya wilaya kuchanja nikiwa nina ujasiri kwamba chanjo IPO Tu eeeh nilishangaa kuambiwa chanjo imeisha nisubiri ikiletwa nyingine.

Aisee nilichoka hapa najipanga kupanda bus kwenda wilaya nyingine kupata chanjo.

Nilichogundua watu wanachanja Sana kimya kimya halafu mitaani wanasema hawataki chanjo maana nikiwa kitaa kila mtu anapinga chanjo sa najiuliza hao waliochanja ni akina nani kila mtu anapinga chanjo?
Baada ya Wizara ya Afya kuanzisha kampeni ya Mpango shirikishi na Harakishi chanjo zote za Janssen zilizokuwepo zimeisha.

Chanjo nyingine za Sinopharm zilizotoka China hazijasambazwa bado. Na hizi dose kamili ni mbili.
 
Ofisini kwetu limekuja agizo kwamba wafanyakazi wote tunatakiwa kuchanja tuwe na certificate ya COVID-19.

Binafsi nipo mikoa ya kanda ya ziwa huku ambako wengi hawakubaliani na chanjo.

Nilijiamini SIKU nikienda NI kufika Tu na kuchanja maana wengi kitaa wanasema hawachanji.

Sasa Jana nilitumiwa ujumbe toka makao makuu kwamba nitume cheti cha COVID-19 cha chanjo via email. Si ikabidi niende Leo hospitali ya wilaya kuchanja nikiwa nina ujasiri kwamba chanjo IPO Tu eeeh nilishangaa kuambiwa chanjo imeisha nisubiri ikiletwa nyingine.

Aisee nilichoka hapa najipanga kupanda bus kwenda wilaya nyingine kupata chanjo.

Nilichogundua watu wanachanja Sana kimya kimya halafu mitaani wanasema hawataki chanjo maana nikiwa kitaa kila mtu anapinga chanjo sa najiuliza hao waliochanja ni akina nani kila mtu anapinga chanjo?
Wahenga walisema akili ni nywele, na kila mtu ana zake! :cool:
 
Unatuamasisha kuchanjwa ?
Ipo siku utakuja kujuta kwa kupokea Chanjo kwa sababu ya kazi, kuogopa kufukuzwa kazi.

Chanjo huwa zinachomwa na wageni kama wewe kwenye wilaya, wenyeji hawachomi
 
Back
Top Bottom