ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,488
- 119,234
Bin Adam Wa kawaida hawezi labda
binadam wa kawaida ni nani hao!
Bin Adam Wa kawaida hawezi labda
Sikumbuki ngoja dompo iishe kichwani....Umeitoa wapi hiyo?
Hakuna maisha hayo ......!!!
Jambo la msingi kabisa kwa kila mmoja kwa maisha ya bora ya mahusiano.Jisimamie na usifanye hayo kwasababu ya mtu mwingine bali kwasababu umejua kuwa ni kwa faida yako mwenyewe!
Kwasababu ni kinyume na ksnuni za maumbile!
Usisubirie shukran.
Fanya kwa Faida yako
kupenda ni moyo... kila mtu ana wake.
Kwani kuna makundi hapo sweetie?
nijuavyo kuna atakaekuwa anatoa zaidi kuliko mwingine,anajali zaidi kuliko mwingine,anapenda zaidi kuliko mwingine