Huyo nani?
Nini hicho cha kujifanyia mwenyewe?
Sijakuelewa!!!!!!!
Unaguna nini?
....Na usiende kutangaza kwa watu ati " mimi na xxxx tunapendana sana" ama " xxx ananipenda sana", Moyo wa mtu hausemewi hata kidogo.
Hata kama dalili za kupendwa unaziona wazi ujifanye kipofu?
Kuna anaejua halafu akauliza tena?
Kupenda ni moyo, hii nayo kali sasa kuna mahusiano gani kati ya kupenda na moyo????
kwani mapenzi yanaishi wapi!
au wasukuma akina Honey Faith na Dinazarde wako wanaposema limoyo langu limekudondokea huwa wanamaanisha nini? lols!
(ukishikwa na hasira...! njoo pm nikupooze kulaleki!)
Nimekuambia uamini chochote?
Hata kama dalili za kupendwa unaziona wazi ujifanye kipofu?