Mpoleeee, yaani ntotoo weyee wallahi wanimaliza'aa... Unrefu kama nkarafu'uu... Mashallahu... Wang'ara kama embe boribo'o...
Nywelezo zinnyooka kama kamba za mibungo'o... kifua kimetuna kama nazi koroma'a...
Ntumee! Miguuyo injaa kama ndizi yankono wa tembo'o... he!
Basi hayo macho'yo makubwa kaa kinyonga, kam'bwia ugoroo!
Kiuno icho, kaa shina la nnazi kitamli... mmmh, wanimaliza weyee!
Nifikiriee mwenzio naumiaa miye....e....e! Mpoleeee.... we!