Unajua kutongozaa?

Mie yule,
nimeamua ku-renew statement
maana kasahau naona

acha tumsaidie
mie nilimwelewa siku nyingiii
kuanzia kwenye usupastaa

Hehehehehe, sasa sijui atazuga mpaka lini.Maana mhusika nae kama haoni vile.
 
Mhhhh!!!! naona wameongea mengi, me langu moja tu... NAKUPENDA SANA!!!....
 
nampa one week
hii sasa natoa altimatam
asipofanya tukio?!

i will be charged and convicted na m.o.l.le.s.t.l.i.n.g big boys

Hehehehehe, sasa sijui atazuga mpaka lini.Maana mhusika nae kama haoni vile.
 
ha ha ha, muunganiko wangu na wako ni kuanzia kwenye pua kuja juu kwenye nywele

huku kwingine acha tuendelee kupiga featuring na wasanii wa kulipwa

Kongosho ma dia..wewe ni fest ledi wangu. Hawa wengine ni wasaidizi tu
 
nampa one week
hii sasa natoa altimatam
asipofanya tukio?!

i will be charged and convicted na m.o.l.le.s.t.l.i.n.g big boys
Acha tabia mbaya wewe.

Binti kashindwa kutongoza anaishia kujipitisha pitisha tu. . . embu msaidie kufikisha ujumbe!!
 
Hivi nina tabia mbaya eeh?
Ntajirekebisha baada ya yeye kujirekebisha

Acha tabia mbaya wewe.

Binti kashindwa kutongoza anaishia kujipitisha pitisha tu. . . embu msaidie kufikisha ujumbe!!
 
Huyo ntoto ulontongoza hapo lazima anatokea Kiembe Samaki huyo ati!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…