Unajisikiaje unavyotongoza halafu ukakataliwa?

Mbudi

JF-Expert Member
Apr 14, 2013
563
143
acha hizo kwani hujui kutongoza nisifa kwa mwanaume
kukubaliwa au kukataliwa ni matokeo
 

CHIEF MGALULA

JF-Expert Member
Sep 11, 2009
1,041
599
Mimi kuna mmoja tumezoeana sana adi ananiomba vitu flani flani kama mwaka adi anakuja home tunapiga story siku za weekend jamani hakuna kazi ngumu kama kumtongoza mliyezoeana naye nabaki kukodolea tu na moyo ukimuona ni mshtuko tuu dah!

Ni kweli kaka,watoto wa kike wana mitego balaa,sasa omba mzigo uone kibuti chake
 

Uso wa nyoka

JF-Expert Member
Mar 17, 2014
4,792
2,370
msaada gani unanipa

Acha kutongoza sana, subiri upendane na mtu! Inawezekana unatongoza sana na wanaambiana!
Ukipendana na mtu, wala hutakuwa na haja ya kutongoza, utaziona tu dalili za kupendwa.
Tulia, concentrate kwenye vitu muhimu kama kutafuta pesa, Elimu, Ajira uliyonayo. Usiwe mtu wa mzaha mzaha wa kitoto, kuwa smart and clean, look happy(hakuna mtu anaependa kushare life na mtu mwenye huzuni), Usipende kuhang na watu wasio na sifa njema hapo ulipo n.k
 

KIDOLEGUMBA

JF-Expert Member
Apr 17, 2013
498
106
Ungeendelea kuonyesha upendo kwake, umeumia kwa sababu kwa aibu yake hukutegemea kumkosa, kama unania njema nae usikate tamaa.
 

Barnaba pro

JF-Expert Member
May 4, 2014
210
13
Acha kutongoza sana, subiri upendane na mtu! Inawezekana unatongoza sana na wanaambiana!
Ukipendana na mtu, wala hutakuwa na haja ya kutongoza, utaziona tu dalili za kupendwa.
Tulia, concentrate kwenye vitu muhimu kama kutafuta pesa, Elimu, Ajira uliyonayo. Usiwe mtu wa mzaha mzaha wa kitoto, kuwa smart and clean, look happy(hakuna mtu anaependa kushare life na mtu mwenye huzuni), Usipende kuhang na watu wasio na sifa njema hapo ulipo n.k

mkuu ushauri mzuri sana,me ni kweli huwa nawatongozaga sana hawa viumbe
 

hossey

JF-Expert Member
May 10, 2015
509
796
ukizoeana na msichana sana hakika huwez kumtongoza hata ukimtongoza bac jua pocibility ya kukataliwa ni kubwa sana.
 

Barnaba pro

JF-Expert Member
May 4, 2014
210
13
Barnaba pro
Kukataliwa kupo sanaa tu. Tatzo unaenda kwa kunyenyekea...treat her as if she doesnt mean anything to u but onyesha care.

Ukijikuta paroko kwa sanaa ndio kabsaaa unaharibu. Alaf ujue kuoga, deodorant and be simple but smart. Lol

Kuna watu hawana hata baiskeli lakn wanang'oa vinu vya hatari.

mkuu hzo sifa zote ninazo,yan nikiona msichana mzuri ameugusa moyo wangu namwambia tu ME NAHITAJ KUWA NA WEW,apo sasa ndo kazi ianziapo
 
Last edited by a moderator:

Barnaba pro

JF-Expert Member
May 4, 2014
210
13
Mimi kuna mmoja tumezoeana sana adi ananiomba vitu flani flani kama mwaka adi anakuja home tunapiga story siku za weekend jamani hakuna kazi ngumu kama kumtongoza mliyezoeana naye nabaki kukodolea tu na moyo ukimuona ni mshtuko tuu dah!

kam anakuja ad hom me ni ngum kumuacha
 

King snr

JF-Expert Member
May 25, 2015
1,153
1,448
Kukataliwa noma sana mkuu hata kama ulikuwa umpendi ukamtongoza akikataa inauma kimtindo
 

hossey

JF-Expert Member
May 10, 2015
509
796
Kwann mkuu?

ujue wasichana huwa ni watu wanaofuata nini mvulana anafanya kwahiyo ukiwa na mazoea nao xana bac anakuchukulia kama rafiki hivyo hata ukimtongoza utasikia anasema "me cwez kuwa na ww coz wew ni kama rafiki kwangu" EPUKA kuwa karibu xana na msichana unaye muwekea target.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Top Bottom