interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Umemaliza kila kitu mzee Baba, tena hao huwa nawaona sawa na nyani wa UdzungwaNawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Dah! Nywele ngumu kama katani! Dah! Inabidi uwe na kipindi kabisa mama, ili wenye nywele za kikatani waelimike.Zikiwa ndefu zinachanika vizuri tu .....mwenyew ninazo ngumu kama katani ....natumia tu mafuta mazuri ya nywele zinachanika poaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana, pia kuna tofauti kubwa sana kati ya urembo "fake material" na uzuri "natural material" 7bu urembo hukaa kwa muda mfupi tu lkn uzuri hudumu muda mrefu zaidi.Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
shida ya weave ndo hii....inakata sana nywele za mbele..naanzaje kumnunulia mtu wigView attachment 1058960View attachment 1058963
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani huu uzi ndiyo utaokuwa na comments chache sana za akina Dada na Mama 7bu ukweli ni mchungu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme tu na nyuma ya keyboard muyachukie hivi hivi ili hao wavaaji wapungue ikiwezekana waishe kabisa.
Hii ngoma imekula kwetu! Hapa naingizwa mjini kabisaaaa! Binafsi napenda mwanamke mwenye nywele nyingi ila ziwe za kwake. Mwanamke mwenye nywele nyingi nikimuona najihisi nimeingia peponi bila kifo.Huwa najisikia vibaya sana..!! Ila pia inategemea na quality ya wigi lenyewe, mfano ona hawa, wanavutia kidogo
Nadhani huu uzi ndiyo utaokuwa na comments chache sana za akina Dada na Mama 7bu ukweli ni mchungu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Niseme tu na nyuma ya keyboard muyachukie hivi hivi ili hao wavaaji wapungue ikiwezekana waishe kabisa.
shida ya weave ndo hii....inakata sana nywele za mbele..
Si kila akusifiaye mdomoni anakupenda kwa dhati bali wengine ni fisi maji tu waendeshwao na tamaa za kimwili.Ila chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Hii ngoma imekula kwetu! Hapa naingizwa mjini kabisaaaa! Binafsi napenda mwanamke mwenye nywele nyingi ila ziwe za kwake. Mwanamke mwenye nywele nyingi nikimuona najihisi nimeingia peponi bila kifo.
Na hawahawa wanaume ndo wa kwanza kuwasifia waliovaa mawigi kwamba wamependezaIla chakushangaza ukivaa wigi utasifiwa sana umependeza.....Tanzania.
Itakuwa jambo jema sana wakiisha au kutoweka kabisa na kiendelea na uasili wao waliotunukiwa na Muumba wao.