Unajisikiaje kuwa na mwanamke mwenye 'Wigi'

Nawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI

hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
Umemaliza kila kitu mzee Baba, tena hao huwa nawaona sawa na nyani wa Udzungwa

"Stand for the truth always stand alone"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zikiwa ndefu zinachanika vizuri tu .....mwenyew ninazo ngumu kama katani ....natumia tu mafuta mazuri ya nywele zinachanika poaaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Nywele ngumu kama katani! Dah! Inabidi uwe na kipindi kabisa mama, ili wenye nywele za kikatani waelimike.

Dah! Halafu kama picha inanijia hivi kama nazijua nywele za kikatani. Ila siyo mbaya uki' drop ka picha.
 
Acheni kuwanunulia :(:(:(:(
naanzaje kumnunulia mtu wig
IMG_20190331_141626.jpeg
IMG_20190331_141546.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamekua brainwashed kwamba wanawake wenye nywele refu na laini ndio wazuri na wao wenye nywele ngumu za kipipili sio wazuri, mwanamke anapaswa kujiamini na kujikubali jinsi Mungu alivomuumba, kama mzuri ni mzuri tu, unaweza vaa wigi original la laki 5 na bado usivutie.
Safi sana, pia kuna tofauti kubwa sana kati ya urembo "fake material" na uzuri "natural material" 7bu urembo hukaa kwa muda mfupi tu lkn uzuri hudumu muda mrefu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom