interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,396
Umemaliza kila kitu mzee Baba, tena hao huwa nawaona sawa na nyani wa UdzungwaNawaambiaga sana dada zangu kuwa mambo wanafanya wakidhani wanapendeza machoni kwa wanaume kumbe ndo wanatuchukiza mno
1.Kuvaa mawigi
2.Kucha bandia
3.Kope bandia
4.kujichubua
5.LIPSTICK
6.KUACHA MAPAJA WAZI
hivi vitu huwa vinanikera mno, sijui ni nani aliyewaambia wakiwa wasafi tu wa kawaida hawatongozwi
yaani hata marashi tu mtu anajipulizia utadhani anajiandaa kuzikwa ukikaa mita nne toka alipo tayari ushapata kipanda uso, warembo wa hivyo nakaa nao mbali kabisa
"Stand for the truth always stand alone"
Sent using Jamii Forums mobile app