kuna binadamu ambae hana mgongo lo????
Sura ya baba silaha ta.ko... hiyo ndiyo maana yake...kuna binadamu ambae hana mgongo lo????
Akii Umenishinda tabiaSura ya baba silaha ta.ko... hiyo ndiyo maana yake...
Ila wewe na pacha wako mnavisura vizuri...Akii Umenishinda tabia
Binti wako mwenye degree ya business administration mwenye sura ngumu mpeleke ATCL mwombee internship uone namna sura ilivyo muhimu kwenye jambo lolote.Sura nzuri bila kuwa na akili ni kazi bure
Lol 🤣Oa mwanamke mzuri at your own risk
kwahiyo fahari yako ni mashine yako?Sura nzuri siyo lazima bhana, we kaza usake mkwanja au uwe vizuri upstairs.
Mtoto wa kiume au kike jikubali, ka mimi ninavyo ikubali mashine yangu 😅
Naam, super combuster ya kuchakata mahindi kuwa dona, mpunga kuwa Mchele 😅.kwahiyo fahari yako ni mashine yako?
Binti wako mwenye degree ya business administration mwenye sura ngumu mpeleke ATCL mwombee internship uone namna sura ilivyo muhimu kwenye jambo lolote.
Atachukuliwa mwenye short course ya wiki 2 na mwanao kuachwa kwasababu ya sura.
Hakuna mtu asiye na akili au asiyejua kufanya kazi.
Soldiers are made not born.
Hiyo akili mtu ataijuaje bila kuona matunda ya kazi yako?
Tuwekeze kwenye maarifa ndio ukombozi pekee kwa mtu yeyote,Sura ni nyongeza tuu lakini haiwezi kumkomboa mtu,Kuna watu wana sura nzuri sana lakini wana maisha magumu balaaBinti wako mwenye degree ya business administration mwenye sura ngumu mpeleke ATCL mwombee internship uone namna sura ilivyo muhimu kwenye jambo lolote.
Atachukuliwa mwenye short course ya wiki 2 na mwanao kuachwa kwasababu ya sura.
Hakuna mtu asiye na akili au asiyejua kufanya kazi.
Soldiers are made not born.
Hiyo akili mtu ataijuaje bila kuona matunda ya kazi yako?
Mtu akipewa vyote anasumbua binadamu wenzakeSura nzuri bila kuwa na akili ni kazi bure