EmmanueldTz
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 286
- 256
Watu mna dhambiiKuna mmoja alikuja kuazima pasi akaunguza waya nikakausha bahati nzuri nilikuanayo nyingine ambayo niliinunua nikiwa kwenye safari moja hivi, so kila akija kuomba nampa ile mbovu na sijui anaitumiaje!? Maana haipeleki moto